Zaburi 37:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atauleta uadilifu wako kama nuru,+Na haki yako kama katikati ya mchana.+ Zaburi 112:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ameangaza katika giza kama nuru kwa walio wanyoofu.+ ח [Chehth]Yeye ni mwenye neema na mwenye rehema na mwadilifu.+ Methali 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini njia ya waadilifu ni kama nuru inayong’aa, inayozidi kuongezeka mpaka mchana mkamilifu.+
4 Ameangaza katika giza kama nuru kwa walio wanyoofu.+ ח [Chehth]Yeye ni mwenye neema na mwenye rehema na mwadilifu.+