16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+
10 “Nitasema na nani na kumpa nani onyo, ili wasikie? Tazama! Sikio lao halijatahiriwa, hivi kwamba hawawezi kusikiliza.+ Tazama! Neno la Yehova limekuwa shutuma+ kwao, na katika neno hilo wao hawawezi kupendezwa.+
15 Wewe mwenyewe umejua.+ Ee Yehova, nikumbuke+ na unikazie fikira zako na kulipiza kisasi juu ya watesaji wangu.+ Usiniondolee mbali katika upole wako wa hasira.+ Angalia kwamba ninachukua shutuma kwa ajili yako.+