Nehemia 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Je, mababu zenu hawakufanya hivyo,+ hivi kwamba Mungu akaleta juu yetu msiba huu wote,+ na pia juu ya jiji hili? Na bado mnaiongeza hasira inayowaka juu ya Israeli kwa kuitia sabato unajisi.”+
18 Je, mababu zenu hawakufanya hivyo,+ hivi kwamba Mungu akaleta juu yetu msiba huu wote,+ na pia juu ya jiji hili? Na bado mnaiongeza hasira inayowaka juu ya Israeli kwa kuitia sabato unajisi.”+