Ayubu 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ninakulilia nipate msaada, lakini wewe hunijibu;+Nimesimama, ili unikazie fikira. Zaburi 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Mungu wangu, mimi huendelea kuita wakati wa mchana, nawe huitiki;+Na wakati wa usiku, wala sinyamazi.+ Zaburi 80:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ee Yehova Mungu wa majeshi, utaendelea kuwaka hasira juu ya sala ya watu wako mpaka wakati gani?+ Zaburi 102:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Usinifiche uso wako siku nitakayokuwa katika dhiki kali.+Utege sikio lako kwangu;+Siku nitakayoita, ufanye haraka, unijibu.+ Methali 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+ Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+ Mika 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati huo watamwomba Yehova msaada, lakini hatawajibu.+ Naye atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+ kulingana na walivyotenda ubaya kwa matendo yao.+
2 Ee Mungu wangu, mimi huendelea kuita wakati wa mchana, nawe huitiki;+Na wakati wa usiku, wala sinyamazi.+
2 Usinifiche uso wako siku nitakayokuwa katika dhiki kali.+Utege sikio lako kwangu;+Siku nitakayoita, ufanye haraka, unijibu.+
15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+
4 Wakati huo watamwomba Yehova msaada, lakini hatawajibu.+ Naye atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+ kulingana na walivyotenda ubaya kwa matendo yao.+