Ayubu 34:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yeye mwenyewe anaposababisha utulivu, ni nani, basi, anayeweza kulaumu?Na anapoficha uso wake,+ ni nani anayeweza kumwona,Iwe ni kuelekea taifa+ au ni kuelekea mwanadamu, yote yakiwa ni mamoja? Zaburi 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utanisahau mpaka wakati gani, Ee Yehova?+ Milele?+Utanificha uso wako mpaka wakati gani?+ Zaburi 27:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usinifiche uso wako.+Usimgeuzie mbali mtumishi wako kwa hasira.+Uwe msaada wangu.+Usinitupe wala usiniache, Ee Mungu wa wokovu wangu.+ Zaburi 69:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wala usimfiche mtumishi wako uso wako.+Kwa sababu niko katika dhiki kali, unijibu upesi.+ Zaburi 88:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa nini, Ee Yehova, unaitupilia mbali nafsi yangu?+Kwa nini unauficha uso wako mbali nami?+ Maombolezo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tazama, Ee Yehova, kwa maana nina dhiki kali. Matumbo yangu yako katika msukosuko.+Moyo wangu umepinduliwa ndani yangu,+ kwa maana nimeasi kabisa.+Huko nje upanga uliwaua watoto.+ Ndani ya nyumba ni sawasawa na kifo.+
29 Yeye mwenyewe anaposababisha utulivu, ni nani, basi, anayeweza kulaumu?Na anapoficha uso wake,+ ni nani anayeweza kumwona,Iwe ni kuelekea taifa+ au ni kuelekea mwanadamu, yote yakiwa ni mamoja?
9 Usinifiche uso wako.+Usimgeuzie mbali mtumishi wako kwa hasira.+Uwe msaada wangu.+Usinitupe wala usiniache, Ee Mungu wa wokovu wangu.+
20 Tazama, Ee Yehova, kwa maana nina dhiki kali. Matumbo yangu yako katika msukosuko.+Moyo wangu umepinduliwa ndani yangu,+ kwa maana nimeasi kabisa.+Huko nje upanga uliwaua watoto.+ Ndani ya nyumba ni sawasawa na kifo.+