Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yeye mwenyewe anaposababisha utulivu, ni nani, basi, anayeweza kulaumu?

      Na anapoficha uso wake,+ ni nani anayeweza kumwona,

      Iwe ni kuelekea taifa+ au ni kuelekea mwanadamu, yote yakiwa ni mamoja?

  • Zaburi 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Utanisahau mpaka wakati gani, Ee Yehova?+ Milele?+

      Utanificha uso wako mpaka wakati gani?+

  • Zaburi 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Usinifiche uso wako.+

      Usimgeuzie mbali mtumishi wako kwa hasira.+

      Uwe msaada wangu.+

      Usinitupe wala usiniache, Ee Mungu wa wokovu wangu.+

  • Zaburi 69:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wala usimfiche mtumishi wako uso wako.+

      Kwa sababu niko katika dhiki kali, unijibu upesi.+

  • Zaburi 88:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa nini, Ee Yehova, unaitupilia mbali nafsi yangu?+

      Kwa nini unauficha uso wako mbali nami?+

  • Maombolezo 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama, Ee Yehova, kwa maana nina dhiki kali. Matumbo yangu yako katika msukosuko.+

      Moyo wangu umepinduliwa ndani yangu,+ kwa maana nimeasi kabisa.+

      Huko nje upanga uliwaua watoto.+ Ndani ya nyumba ni sawasawa na kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki