Kumbukumbu la Torati 28:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yehova atakupiga kwa wazimu+ na kupoteza uwezo wa kuona+ na kuchanganyikiwa kwa moyo.+ Isaya 56:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Walinzi wake ni vipofu.+ Hakuna hata mmoja wao ambaye ameona.+ Wote ni mbwa walio bubu; hawawezi kubweka,+ wanahema, wanalala chini, wanapenda kusinzia.+ Mathayo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+
10 Walinzi wake ni vipofu.+ Hakuna hata mmoja wao ambaye ameona.+ Wote ni mbwa walio bubu; hawawezi kubweka,+ wanahema, wanalala chini, wanapenda kusinzia.+
14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+