Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yeye mwenyewe anaposababisha utulivu, ni nani, basi, anayeweza kulaumu?

      Na anapoficha uso wake,+ ni nani anayeweza kumwona,

      Iwe ni kuelekea taifa+ au ni kuelekea mwanadamu, yote yakiwa ni mamoja?

  • Zaburi 34:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda yaliyo mabaya,+

      Ili kumbukumbu lao liondolewe mbali duniani.+

  • Isaya 59:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hapana, bali makosa yenu ndiyo mambo yanayosababisha mgawanyiko kati yenu na Mungu wenu,+ na dhambi zenu zimesababisha kufichwa kwa uso wake kutoka kwenu ili asisikie.+

  • Yeremia 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nitawatawanya wao mbele ya adui kama kwa upepo wa mashariki.+ Nitawaonyesha wao mgongo, wala si uso,+ katika siku ya msiba wao.”

  • Waebrania 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 si kulingana na lile agano+ ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ kwa sababu hawakuendelea kulishika agano langu,+ hivi kwamba nikaacha kuwajali,’ asema Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki