Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 137:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ukumbuke,+ Ee Yehova, juu ya wana wa Edomu+ siku ya Yerusalemu,+

      Waliokuwa wakisema: “Lifanye ukiwa! Lifanye ukiwa mpaka kwenye msingi ulio ndani yake!”+

  • Isaya 34:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Kwa maana upanga+ wangu hakika utaloweshwa mbinguni. Tazama! Utashuka juu ya Edomu,+ na juu ya watu ambao nimewatenga ili niwaangamize+ katika haki.

  • Ezekieli 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga.

  • Ezekieli 35:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kama vile tu ulivyoshangilia urithi wa nyumba ya Israeli kwa sababu ilifanywa ukiwa, nitakutendea jambo hilohilo.+ Utakuwa mahame yenye ukiwa, Ee eneo lenye milima la Seiri, naam, Edomu yote, naam, yote pia;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”+

  • Amosi 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Edomu,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu alimfuatilia ndugu yake mwenyewe kwa upanga,+ na kwa sababu aliharibu sifa zake mwenyewe za rehema,+ na hasira yake huendelea kurarua milele, na ghadhabu yake—ameishika daima.+

  • Obadia 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hupaswi kuja katika lango la watu wangu siku ya maafa yao.+ Wewe, naam, wewe, hupaswi kukaza macho juu ya msiba wake siku ya maafa yake; wala kunyoosha mkono wako juu ya mali yake siku ya maafa yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki