15 “Ubaya wao wote ulikuwa katika Gilgali,+ kwa maana hapo nililazimika kuwachukia.+ Nitawafukuzia mbali kutoka katika nyumba yangu mwenyewe kwa sababu ya uovu wa matendo yao.+ Sitaendelea kuwapenda.+ Wakuu wao wote wanatenda kwa ukaidi.+
11 “Mambo ya uchawi,+ pia yasiyo ya kweli,+ yametokea Gileadi. Wametoa dhabihu za ng’ombe katika Gilgali.+ Zaidi ya hayo, madhabahu zao ni kama mafungu ya mawe katika matuta ya shamba.+
4 “ ‘Enyi watu, njooni Betheli, mfanye makosa.+ Fanyeni makosa mara nyingi katika Gilgali,+ na mlete dhabihu zenu asubuhi; na sehemu zenu za kumi katika siku ya tatu.+