2 “Waliwaita.+ Kwa kadiri hiyohiyo walienda mbali kutoka mbele yao.+ Wakaanza kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali,+ nao wakaanza kufukiza moshi wa dhabihu kwa sanamu za kuchongwa.+
2 Na sasa wanafanya dhambi zaidi na kujifanyia sanamu ya kuyeyushwa kutoka kwenye fedha+ yao, sanamu kulingana na uelewaji wao wenyewe,+ yote hiyo ni kazi ya mafundi.+ Nao wanaziambia, ‘Acheni wanadamu wanaotoa dhabihu wabusu ndama.’+