31 Na ikawa kana kwamba lilikuwa ni jambo dogo zaidi+ kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, sasa akamchukua Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ kuwa mke wake+ naye akaanza kwenda kumtumikia Baali+ na kumwinamia.
19 Na sasa tuma watu, unikusanyie Israeli wote katika Mlima Karmeli+ na pia wale manabii 450 wa Baali+ na wale manabii 400 wa ule mti mtakatifu,+ wanaokula mezani pa Yezebeli.”+
16 Nao wakaendelea kuacha amri+ zote za Yehova, Mungu wao, wakajitengenezea sanamu za kuyeyushwa,+ ndama wawili,+ na kutengeneza mti mtakatifu,+ nao wakaanza kuliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kutumikia Baali;+
13 Nami nitamtoza hesabu+ kwa ajili ya siku za sanamu za Baali+ alizokuwa akifukizia moshi,+ wakati alipokuwa akijipamba kwa pete yake na pambo+ lake na kuwafuata wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ naye alinisahau+ mimi,’ asema Yehova.