2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+
15 Hao wote amewainua kwa ndoano tu;+ huwakokota katika wavu wake,+ naye huwakusanya katika wavu wake wa kuvulia. Hiyo ndiyo sababu anafurahi na kuwa na shangwe.+