Methali 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye anayepanda ukosefu wa uadilifu atavuna madhara,+ lakini fimbo ya ghadhabu yake itafikia mwisho wake.+ Hosea 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Kwa maana wao huendelea kupanda upepo, nao watavuna+ upepo wa dhoruba. Hakuna chochote chenye nafaka inayosimama.+ Hakuna chipukizi lolote linalotoa unga.+ Chipukizi lolote likiutokeza, wageni wataumeza.+
8 Yeye anayepanda ukosefu wa uadilifu atavuna madhara,+ lakini fimbo ya ghadhabu yake itafikia mwisho wake.+
7 “Kwa maana wao huendelea kupanda upepo, nao watavuna+ upepo wa dhoruba. Hakuna chochote chenye nafaka inayosimama.+ Hakuna chipukizi lolote linalotoa unga.+ Chipukizi lolote likiutokeza, wageni wataumeza.+