7 Kwa maana Yehova Mungu wako amekubariki wewe katika kila tendo la mkono wako.+ Anajua vema juu ya kutembea kwako katika nyika hii kuu. Miaka hii 40+ Yehova Mungu wako amekuwa pamoja nawe. Hukukosa kitu chochote.”’+
2 “Nenda, ukaite masikioni mwa Yerusalemu, ukisema, ‘Yehova amesema hivi:+ “Ninakumbuka vema fadhili zako zenye upendo wakati wa ujana wako,+ upendo wako wakati ulipochumbiwa ili kuolewa,+ ulivyotembea kunifuata nyikani, katika nchi ambayo haipandwi mbegu.+