Zaburi 139:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kama ningepanda mbinguni, ungekuwa huko;+Na kama ningetandika kitanda changu katika Kaburi,* tazama! ungekuwa huko.+ Methali 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kaburi* na mahali pa maangamizi+ viko mbele za Yehova.+ Basi, mioyo ya wana wa binadamu+ ni zaidi!
8 Kama ningepanda mbinguni, ungekuwa huko;+Na kama ningetandika kitanda changu katika Kaburi,* tazama! ungekuwa huko.+
11 Kaburi* na mahali pa maangamizi+ viko mbele za Yehova.+ Basi, mioyo ya wana wa binadamu+ ni zaidi!