Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu. Kumbukumbu la Torati 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usiihesabie watu wako Israeli, ambao ulikomboa,+ Ee Yehova, wala usiweke katikati ya watu wako Israeli hatia ya damu isiyo na hatia.’+ Na wasihesabiwe hatia hiyo ya damu.
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.
8 Usiihesabie watu wako Israeli, ambao ulikomboa,+ Ee Yehova, wala usiweke katikati ya watu wako Israeli hatia ya damu isiyo na hatia.’+ Na wasihesabiwe hatia hiyo ya damu.