22 Ndipo wakaanguka kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho za kila namna ya mwili,+ je, mtu mmoja tu atatenda dhambi nawe ulikasirikie kusanyiko lote?”+
15 Ila tu mnapaswa kujua kabisa kwamba, ikiwa mnaniua, ni damu isiyo na hatia ambayo mnajiletea juu yenu wenyewe na juu ya jiji hili na juu ya wakaaji wake,+ kwa maana kwa kweli Yehova alinituma kwenu niseme masikioni mwenu maneno haya yote.”+
14 Nao wakaanza kumwita Yehova na kusema:+ “Ah, sasa, Ee Yehova, tafadhali, tusiangamie kwa sababu ya nafsi ya mtu huyu! Nawe usiweke juu yetu damu isiyo na hatia,+ kwa kuwa wewe mwenyewe, Ee Yehova, umefanya ulivyopenda!”+