Zaburi 72:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Atashuka kama mvua juu ya majani yaliyofyekwa,+Kama manyunyu mengi yanayolowesha dunia.+ Isaya 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana nitamimina maji juu ya mwenye kiu,+ na vijito vinavyotiririka juu ya mahali pakavu.+ Nitaimimina roho yangu juu ya uzao wako,+ na baraka yangu juu ya wazao wako. 1 Wakorintho 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mimi nilipanda,+ Apolo akatia maji,+ lakini Mungu akaendelea kuikuza;+
3 Kwa maana nitamimina maji juu ya mwenye kiu,+ na vijito vinavyotiririka juu ya mahali pakavu.+ Nitaimimina roho yangu juu ya uzao wako,+ na baraka yangu juu ya wazao wako.