Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na sasa, Ee Israeli, Yehova Mungu wako anataka nini kutoka kwako+ ila kumwogopa+ Yehova Mungu wako, ili kutembea katika njia zake zote+ na kumpenda+ yeye na kumtumikia Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote;+

  • Methali 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kutenda uadilifu na hukumu kunampendeza Yehova kuliko dhabihu.+

  • Isaya 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+

  • Yeremia 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova amesema hivi: “Toeni haki na uadilifu, nanyi mumkomboe yeye anayenyang’anywa kutoka mkononi mwa mpunjaji; wala msimtendee vibaya mkaaji mgeni yeyote, mvulana asiye na baba au mjane.+ Msiwatendee jeuri yoyote.+ Wala msimwage damu yoyote isiyo na hatia mahali hapa.+

  • Ezekieli 45:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Imetosha, enyi wakuu wa Israeli!’+

      “ ‘Ondoeni jeuri na uporaji,+ na mfanye haki na uadilifu.+ Acheni kutumia uwezo vibaya kuchukua vitu vya watu wangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

  • Hosea 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Na wewe inakupasa kurudi kwa Mungu wako,+ ushike fadhili zenye upendo+ na haki;+ nawe umtumaini Mungu wako sikuzote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki