Zaburi 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova ni Mchungaji wangu.+Sitakosa chochote.+ Zaburi 28:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwaokoe watu wako, na kuubariki urithi wako;+Na uwachunge na kuwabeba mpaka wakati usio na kipimo.+ Isaya 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+ Yohana 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kondoo+ wangu huisikiliza sauti yangu, nami ninawajua, nao wananifuata.+
9 Uwaokoe watu wako, na kuubariki urithi wako;+Na uwachunge na kuwabeba mpaka wakati usio na kipimo.+
11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+