11 Ee Yehova, mkono wako umeinuliwa juu,+ lakini wao hawauoni.+ Wataona na kupata aibu+ kutokana na bidii kwa ajili ya watu wako. Ndiyo, moto+ kwa ajili ya adui zako utawateketeza wao.
18 “Na kuhusu kazi+ zao na mawazo+ yao, mimi ninakuja ili kuyakusanya mataifa yote na lugha zote pamoja;+ nao itawapasa kuja na kuuona utukufu wangu.”+