Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 126:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko,+

      Na ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+

      Wakati huo walianza kusema kati ya mataifa:+

      “Yehova amefanya jambo kuu katika yale ambayo amewafanyia.”+

  • Isaya 26:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ee Yehova, mkono wako umeinuliwa juu,+ lakini wao hawauoni.+ Wataona na kupata aibu+ kutokana na bidii kwa ajili ya watu wako. Ndiyo, moto+ kwa ajili ya adui zako utawateketeza wao.

  • Isaya 66:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Na kuhusu kazi+ zao na mawazo+ yao, mimi ninakuja ili kuyakusanya mataifa yote na lugha zote pamoja;+ nao itawapasa kuja na kuuona utukufu wangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki