Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+

  • Zaburi 105:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Agano ambalo alifanya na Abrahamu,+

      Na ahadi yake yenye kiapo aliyomwapia Isaka,+

  • Luka 1:72
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 72 kufanya rehema kuhusiana na mababu zetu na kulikumbuka agano lake takatifu,+

  • Matendo 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ninyi ndio wana+ wa manabii na wa agano ambalo Mungu aliagana pamoja na mababu zenu, akimwambia Abrahamu, ‘Na katika uzao wako familia zote za dunia zitabarikiwa.’+

  • Waebrania 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana Mungu alipoitoa ahadi yake kwa Abrahamu,+ kwa kuwa hangeweza kuapa kwa yeyote aliye mkubwa zaidi, aliapa+ kwa nafsi yake mwenyewe,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki