Zaburi 107:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Akawatoa katika giza na kivuli kizito,+Na hata kuzikata pingu zao.+ Yeremia 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitashika njia kwenda kwa wakuu na kusema nao;+ kwa maana wao lazima waliiangalia njia ya Yehova, hukumu ya Mungu wao.+ Hakika wao wote pamoja lazima waliivunja nira; lazima wawe walizikata pingu.”+
5 Nitashika njia kwenda kwa wakuu na kusema nao;+ kwa maana wao lazima waliiangalia njia ya Yehova, hukumu ya Mungu wao.+ Hakika wao wote pamoja lazima waliivunja nira; lazima wawe walizikata pingu.”+