Zaburi 76:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kutoka mbinguni ulifanya kesi isikiwe;+Dunia iliogopa na kukaa kimya+ Habakuki 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+ Kaa kimya mbele zake, dunia yote!’ ”+ Zekaria 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nyamazeni, watu wote, mbele za Yehova,+ kwa maana ameamka+ kutoka katika makao yake matakatifu.+