Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 na laana,+ ikiwa hamtatii amri za Yehova Mungu+ wenu nanyi mgeuke kutoka katika njia ambayo ninawaamuru ninyi juu yake leo, ili kufuata miungu mingine ambayo hamjaijua.

  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

  • Zaburi 109:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye aliendelea kuipenda laana,+ hivi kwamba ikamjia;+

      Wala hakupendezwa na baraka,+

      Hivi kwamba ikawa mbali naye;+

  • Isaya 24:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndiyo sababu laana imeila nchi,+ na wakaaji wake wamehesabiwa hatia. Ndiyo sababu wakaaji wa nchi wamepungua hesabu, na wanadamu wanaoweza kufa walio wachache sana ndio wamebaki.+

  • Malaki 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye atageuza moyo wa akina baba urudi kwa wana, na moyo wa wana urudi kwa akina baba; ili nisije kuipiga dunia na kuiangamiza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki