Yeremia 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, kati ya sanamu za ubatili+ za mataifa kuna yoyote inayoweza kunyesha mvua, au, je, hata mbingu zinaweza kutoa manyunyu?+ Je, si Wewe, Ee Yehova Mungu wetu?+ Nasi tunakutumaini wewe, kwa maana wewe mwenyewe umeyatenda mambo hayo yote.+ Yakobo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye akasali tena, na mbingu ikatoa mvua na nchi ikazaa matunda yake.+
22 Je, kati ya sanamu za ubatili+ za mataifa kuna yoyote inayoweza kunyesha mvua, au, je, hata mbingu zinaweza kutoa manyunyu?+ Je, si Wewe, Ee Yehova Mungu wetu?+ Nasi tunakutumaini wewe, kwa maana wewe mwenyewe umeyatenda mambo hayo yote.+