Isaya 65:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hawatafanya kazi ya bure,+ wala hawatazaa kwa ajili ya kupata usumbufu;+ kwa sababu wao ni uzao wa watu wa Yehova waliobarikiwa,+ na wazao wao pamoja nao.+ Matendo 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa maana ahadi+ ni kwenu na kwa watoto wenu na kwa wale wote walio mbali,+ wengi kadiri ambayo Yehova Mungu wetu huenda akawaita kwake.”+
23 Hawatafanya kazi ya bure,+ wala hawatazaa kwa ajili ya kupata usumbufu;+ kwa sababu wao ni uzao wa watu wa Yehova waliobarikiwa,+ na wazao wao pamoja nao.+
39 Kwa maana ahadi+ ni kwenu na kwa watoto wenu na kwa wale wote walio mbali,+ wengi kadiri ambayo Yehova Mungu wetu huenda akawaita kwake.”+