Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na nabii+ huyo au mwotaji huyo wa ndoto atauawa,+ kwa sababu amesema maasi juu ya Yehova Mungu wenu, ambaye aliwatoa ninyi katika nchi ya Misri na amekukomboa kutoka katika nyumba ya watumwa, ili kukugeuza kutoka katika njia ambayo Yehova Mungu wako amekuamuru kuitembea;+ nawe utaondolea mbali kilicho kiovu kutoka katikati yako.+

  • Yeremia 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo nitawapa wanaume wengine wake zao, mashamba yao kwa wale wanaoyamiliki;+ kwa maana, kuanzia aliye mdogo zaidi mpaka aliye mkubwa zaidi, kila mmoja anajipatia pato lisilo la haki;+ kuanzia nabii mpaka kuhani, kila mmoja anatenda kwa uwongo.+

  • Yeremia 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na katika manabii wa Yerusalemu nimeona mambo yenye kuchukiza sana,+ kufanya uzinzi+ na kutembea katika uwongo;+ nao wameitia nguvu mikono ya watenda-maovu ili wasirudi,+ kila mmoja kutoka katika ubaya wake. Kwangu wote wamekuwa kama Sodoma,+ na wakaaji wake kama Gomora.”+

  • Ezekieli 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Naye nabii, ikiwa atapumbazwa naye hakika aseme neno, mimi mwenyewe, Yehova, nimempumbaza nabii huyo;+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yake na kumwangamiza kutoka katikati ya watu wangu Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki