Zaburi 66:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana umetuchunguza, Ee Mungu;+Umetusafisha kama kusafisha fedha.+ Isaya 48:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tazama! Nimekusafisha, lakini si kwa namna ya fedha.+ Nimekuchagua katika tanuru ya kuyeyushia ya mateso.+ Malaki 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Lakini ni nani atakayeistahimili siku ya kuja kwake,+ naye ni nani atakayesimama wakati atakapoonekana?+ Kwa maana atakuwa kama moto wa msafishaji+ na kama sabuni+ ya wafuaji wa nguo.+
10 Tazama! Nimekusafisha, lakini si kwa namna ya fedha.+ Nimekuchagua katika tanuru ya kuyeyushia ya mateso.+
2 “Lakini ni nani atakayeistahimili siku ya kuja kwake,+ naye ni nani atakayesimama wakati atakapoonekana?+ Kwa maana atakuwa kama moto wa msafishaji+ na kama sabuni+ ya wafuaji wa nguo.+