35 Na baadhi ya wale wenye ufahamu watakwazwa,+ ili kufanya kazi ya kusafisha kwa sababu yao na kutakasa na kufanya weupe,+ mpaka wakati wa mwisho;+ kwa maana bado ni kwa wakati uliowekwa.+
10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+
13 kazi ya kila mmoja itafunuliwa, kwa maana ile siku itaifichua, kwa sababu itafunuliwa kwa njia ya moto;+ na moto wenyewe utaonyesha kazi ya kila mmoja ni ya aina gani.