Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 11:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na baadhi ya wale wenye ufahamu watakwazwa,+ ili kufanya kazi ya kusafisha kwa sababu yao na kutakasa na kufanya weupe,+ mpaka wakati wa mwisho;+ kwa maana bado ni kwa wakati uliowekwa.+

  • Danieli 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+

  • 1 Wakorintho 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kazi ya kila mmoja itafunuliwa, kwa maana ile siku itaifichua, kwa sababu itafunuliwa kwa njia ya moto;+ na moto wenyewe utaonyesha kazi ya kila mmoja ni ya aina gani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki