Zaburi 118:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hii ndiyo siku ambayo Yehova ameifanya;+Tutaishangilia na kuifurahia.+ 1 Wathesalonike 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+ 2 Wathesalonike 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 msitikiswe upesi kutoka kwenye kufikiri kwenu wala msisisimuliwe ama kupitia neno lililoongozwa na roho+ au kupitia ujumbe wa maneno+ au kupitia barua+ kana kwamba inatoka kwetu, ya kuwa siku+ ya Yehova ipo hapa.
2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+
2 msitikiswe upesi kutoka kwenye kufikiri kwenu wala msisisimuliwe ama kupitia neno lililoongozwa na roho+ au kupitia ujumbe wa maneno+ au kupitia barua+ kana kwamba inatoka kwetu, ya kuwa siku+ ya Yehova ipo hapa.