Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na Yuda+ na Israeli wakaendelea kukaa salama,+ kila mtu chini ya mzabibu wake mwenyewe na chini ya mtini wake mwenyewe,+ kuanzia Dani mpaka Beer-sheba,+ siku zote za Sulemani.

  • Isaya 36:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Msimsikilize Hezekia, kwa maana mfalme wa Ashuru amesema hivi: “Salimuni amri kwangu,+ mtoke nje mje kwangu, mle kila mtu kutokana na mzabibu wake mwenyewe na kila mtu kutokana na mtini+ wake mwenyewe na mnywe kila mtu maji ya tangi lake mwenyewe,+

  • Hosea 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kwa ajili yao hakika nitafanya agano siku hiyo na mnyama wa mwituni+ na kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kitu kinachotambaa cha nchi, nami nitavunja kutoka katika nchi upinde na upanga na vita,+ nami nitawafanya walale salama salimini.+

  • Mika 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wataketi, kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+ wala hakutakuwa na mtu yeyote anayewatetemesha;+ kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hivyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki