Zaburi 56:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wewe mwenyewe umetoa habari juu ya kuwa kwangu mkimbizi.+Uyaweke machozi yangu katika kiriba chako.+Je, hayamo katika kitabu chako?+ Zaburi 69:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na wafutwe kutoka katika kitabu cha walio hai,+Wala wasiandikwe pamoja na waadilifu.+ Zaburi 139:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Macho yako yalikiona kiini-tete changu,+Na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa,Kuhusiana na siku ambazo zilifanyizwa+Na hakukuwako hata moja kati ya hizo.
8 Wewe mwenyewe umetoa habari juu ya kuwa kwangu mkimbizi.+Uyaweke machozi yangu katika kiriba chako.+Je, hayamo katika kitabu chako?+
16 Macho yako yalikiona kiini-tete changu,+Na katika kitabu chako sehemu zake zote zilikuwa zimeandikwa,Kuhusiana na siku ambazo zilifanyizwa+Na hakukuwako hata moja kati ya hizo.