Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 11:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na baadhi ya wale wenye ufahamu watakwazwa,+ ili kufanya kazi ya kusafisha kwa sababu yao na kutakasa na kufanya weupe,+ mpaka wakati wa mwisho;+ kwa maana bado ni kwa wakati uliowekwa.+

  • Zekaria 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nitaleta sehemu hiyo ya tatu kupitia moto;+ nami nitawasafisha kama vile fedha inavyosafishwa,+ na kuwajaribu kama vile dhahabu inavyojaribiwa.+ Nayo italiitia jina langu, nami nitaijibu.+ Nitasema, ‘Ni watu wangu,’+ nayo itasema, ‘Yehova ni Mungu wangu.’ ”+

  • 1 Petro 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 ili sifa iliyojaribiwa ya imani+ yenu, iliyo na thamani kubwa zaidi kuliko dhahabu ambayo huharibika ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto,+ ipatikane kuwa sababu ya sifa na utukufu na heshima wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.

  • 1 Petro 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wapendwa, msishangazwe juu ya moto unaowaka katikati yenu, unaowapata ninyi ili kuwa jaribu,+ kana kwamba jambo geni linawapata.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki