Marko 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa kweli, kama Yehova+ hangezifupisha siku hizo, hakuna chochote chenye mwili ambacho kingeokolewa. Lakini amezifupisha siku hizo+ kwa sababu ya waliochaguliwa+ ambao amewachagua.+
20 Kwa kweli, kama Yehova+ hangezifupisha siku hizo, hakuna chochote chenye mwili ambacho kingeokolewa. Lakini amezifupisha siku hizo+ kwa sababu ya waliochaguliwa+ ambao amewachagua.+