Luka 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye Ibilisi akamwambia: “Hakika nitakupa mamlaka+ yote hii na utukufu wake, kwa sababu nimepewa, na yeyote ninayetaka mimi humpa.+ Luka 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo, ukifanya tendo+ la ibada mbele yangu, yote itakuwa yako.” Yohana 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sasa ulimwengu huu unahukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu+ huu atatupwa nje.+ 2 Wakorintho 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambao katikati yao mungu wa mfumo huu wa mambo+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru+ ya habari njema yenye utukufu+ juu ya Kristo, aliye mfano+ wa Mungu, isipenyeze mwangaza.+
6 naye Ibilisi akamwambia: “Hakika nitakupa mamlaka+ yote hii na utukufu wake, kwa sababu nimepewa, na yeyote ninayetaka mimi humpa.+
4 ambao katikati yao mungu wa mfumo huu wa mambo+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru+ ya habari njema yenye utukufu+ juu ya Kristo, aliye mfano+ wa Mungu, isipenyeze mwangaza.+