Luka 6:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 kuwabariki wale wanaowalaani, kusali kwa ajili ya wale wanaowatusi.+ Luka 23:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 [[Lakini Yesu alikuwa akisema: “Baba, wasamehe,+ kwa maana hawajui wanalofanya.”]] Zaidi ya hayo, ili kugawa mavazi yake, wakapiga kura.+ Matendo 7:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Ndipo akapiga magoti yake, akapaaza sauti kubwa: “Yehova, usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo akalala usingizi katika kifo. Waroma 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Endeleeni kuwabariki wale wanaowatesa;+ muwe mkibariki+ wala msiwe mkilaani.+
34 [[Lakini Yesu alikuwa akisema: “Baba, wasamehe,+ kwa maana hawajui wanalofanya.”]] Zaidi ya hayo, ili kugawa mavazi yake, wakapiga kura.+
60 Ndipo akapiga magoti yake, akapaaza sauti kubwa: “Yehova, usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo akalala usingizi katika kifo.