Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 6:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 kuwabariki wale wanaowalaani, kusali kwa ajili ya wale wanaowatusi.+

  • Luka 23:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 [[Lakini Yesu alikuwa akisema: “Baba, wasamehe,+ kwa maana hawajui wanalofanya.”]] Zaidi ya hayo, ili kugawa mavazi yake, wakapiga kura.+

  • Matendo 7:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Ndipo akapiga magoti yake, akapaaza sauti kubwa: “Yehova, usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo akalala usingizi katika kifo.

  • Waroma 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Endeleeni kuwabariki wale wanaowatesa;+ muwe mkibariki+ wala msiwe mkilaani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki