Zaburi 55:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtupie Yehova mzigo wako,+Naye mwenyewe atakutegemeza.+Hatamwacha kamwe mwadilifu atikisike.+ 1 Timotheo 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, tukiwa na chakula na kitu cha kujifunika, tutaridhika na vitu hivyo.+ Waebrania 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Namna yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika+ na vitu vya sasa.+ Kwa maana yeye amesema: “Sitakuacha wala kukutupa hata kidogo.”+ 1 Petro 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 huku mkitupa mahangaiko+ yenu yote juu yake, kwa sababu yeye anawajali ninyi.+
5 Namna yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika+ na vitu vya sasa.+ Kwa maana yeye amesema: “Sitakuacha wala kukutupa hata kidogo.”+