Zaburi 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nimemweka Yehova mbele yangu daima.+Kwa sababu yuko upande wa mkono wangu wa kuume, sitatikiswa.+ Zaburi 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ijapokuwa huenda akaanguka, yeye hatatupwa chini,+Kwa maana Yehova anautegemeza mkono wake.+ Zaburi 62:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa kweli yeye ni mwamba wangu na wokovu wangu, kilele changu salama;+Sitatikiswa sana.+ Zaburi 121:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hawezi kamwe kuruhusu mguu wako utikisike.+Yeye anayekulinda hawezi kamwe kusinzia.+