Zaburi 65:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anatuliza kelele za bahari,+Kelele za mawimbi yake na ghasia za vikundi vya mataifa.+ Zaburi 89:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Unatawala juu ya kufurika kwa bahari;+Inapoinua mawimbi yake wewe mwenyewe huyatuliza.+ Zaburi 107:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Huituliza dhoruba ya upepo ikawa kimya,+Hivi kwamba mawimbi ya bahari hukaa kimya.+ Luka 8:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo akawaambia: “Imani yenu iko wapi?” Lakini wakiwa wameingiwa na woga, wakastaajabu, wakaambiana: “Kwa kweli huyu ni nani, kwa maana anaagiza hata pepo na maji, nazo zinamtii?”+
25 Ndipo akawaambia: “Imani yenu iko wapi?” Lakini wakiwa wameingiwa na woga, wakastaajabu, wakaambiana: “Kwa kweli huyu ni nani, kwa maana anaagiza hata pepo na maji, nazo zinamtii?”+