Mathayo 8:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa hiyo watu hao wakashangaa na kusema: “Mtu huyu ni wa namna gani,+ hivi kwamba hata pepo na bahari zinamtii?” Marko 4:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Lakini wakaogopa isivyo kawaida, nao wakawa wakiambiana: “Kwa kweli huyu ni nani, kwa sababu hata upepo na bahari zinamtii?”+
27 Kwa hiyo watu hao wakashangaa na kusema: “Mtu huyu ni wa namna gani,+ hivi kwamba hata pepo na bahari zinamtii?”
41 Lakini wakaogopa isivyo kawaida, nao wakawa wakiambiana: “Kwa kweli huyu ni nani, kwa sababu hata upepo na bahari zinamtii?”+