Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi wanafunzi wa Yohana na Mafarisayo walikuwa na zoea la kufunga. Kwa hiyo wakaja wakamwambia: “Kwa nini wanafunzi wa Yohana na wanafunzi wa Mafarisayo hufunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?”+

  • Luka 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wakamwambia: “Wanafunzi wa Yohana hufunga mara nyingi na kutoa dua, na ndivyo wanavyofanya wale wa Mafarisayo, lakini wako hula na kunywa.”+

  • Luka 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mimi hufunga mara mbili kwa juma, mimi hutoa sehemu ya kumi ya vitu vyote ninavyojipatia.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki