Marko 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wanafunzi wa Yohana na Mafarisayo walikuwa na zoea la kufunga. Kwa hiyo wakaja wakamwambia: “Kwa nini wanafunzi wa Yohana na wanafunzi wa Mafarisayo hufunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?”+ Luka 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Wakamwambia: “Wanafunzi wa Yohana hufunga mara nyingi na kutoa dua, na ndivyo wanavyofanya wale wa Mafarisayo, lakini wako hula na kunywa.”+ Luka 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mimi hufunga mara mbili kwa juma, mimi hutoa sehemu ya kumi ya vitu vyote ninavyojipatia.’+
18 Basi wanafunzi wa Yohana na Mafarisayo walikuwa na zoea la kufunga. Kwa hiyo wakaja wakamwambia: “Kwa nini wanafunzi wa Yohana na wanafunzi wa Mafarisayo hufunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?”+
33 Wakamwambia: “Wanafunzi wa Yohana hufunga mara nyingi na kutoa dua, na ndivyo wanavyofanya wale wa Mafarisayo, lakini wako hula na kunywa.”+