Mathayo 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo wanafunzi wa Yohana wakamjia na kuuliza: “Kwa nini sisi na Mafarisayo hufunga lakini wanafunzi wako hawafungi?”+ Luka 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Wakamwambia: “Wanafunzi wa Yohana hufunga mara nyingi na kutoa dua, na ndivyo wanavyofanya wale wa Mafarisayo, lakini wako hula na kunywa.”+
14 Ndipo wanafunzi wa Yohana wakamjia na kuuliza: “Kwa nini sisi na Mafarisayo hufunga lakini wanafunzi wako hawafungi?”+
33 Wakamwambia: “Wanafunzi wa Yohana hufunga mara nyingi na kutoa dua, na ndivyo wanavyofanya wale wa Mafarisayo, lakini wako hula na kunywa.”+