Mathayo 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kutoka wakati huo na kuendelea Yesu alianza kuhubiri na kusema: “Tubuni,+ kwa maana ufalme+ wa mbinguni umekaribia.” Luka 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 na mwaponye+ wagonjwa walio humo, na kuendelea kuwaambia, ‘Ufalme+ wa Mungu umekuja karibu nanyi.’
17 Kutoka wakati huo na kuendelea Yesu alianza kuhubiri na kusema: “Tubuni,+ kwa maana ufalme+ wa mbinguni umekaribia.”