Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’ Lakini kwa wale wote nitakaokutuma kwao, unapaswa kwenda; na kila jambo nitakalokuamuru, unapaswa kusema.+

  • Marko 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini wanapowapeleka, msihangaike kimbele juu ya jambo mtakalosema;+ bali jambo lolote mtakalopewa saa hiyo, semeni hilo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+

  • Luka 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini watakapowapeleka mbele ya makusanyiko ya watu wote na maofisa wa serikali na mamlaka, msihangaikie jinsi au jambo mtakalojitetea nalo au jambo mtakalosema;+

  • Luka 21:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo azimieni mioyoni mwenu kwamba hamtafanya mazoezi mapema ya jinsi mtakavyojitetea,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki