7 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Usiseme, ‘Mimi ni mvulana tu.’ Lakini kwa wale wote nitakaokutuma kwao, unapaswa kwenda; na kila jambo nitakalokuamuru, unapaswa kusema.+
11 Lakini wanapowapeleka, msihangaike kimbele juu ya jambo mtakalosema;+ bali jambo lolote mtakalopewa saa hiyo, semeni hilo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+
11 Lakini watakapowapeleka mbele ya makusanyiko ya watu wote na maofisa wa serikali na mamlaka, msihangaikie jinsi au jambo mtakalojitetea nalo au jambo mtakalosema;+