19 Hata hivyo, watakapowapeleka ninyi, msihangaike juu ya jambo mtakalosema au jinsi mtakavyolisema; kwa maana mtapewa jambo la kusema katika saa hiyo;+
11 Lakini watakapowapeleka mbele ya makusanyiko ya watu wote na maofisa wa serikali na mamlaka, msihangaikie jinsi au jambo mtakalojitetea nalo au jambo mtakalosema;+