Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 8:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kwa maana mtu yeyote yule anayenionea aibu mimi na maneno yangu katika kizazi hiki chenye uzinzi na chenye dhambi, Mwana wa binadamu atamwonea aibu+ yeye pia atakapofika katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”+

  • Luka 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana mtu yeyote yule atakayenionea aibu mimi na maneno yangu, Mwana wa binadamu atamwonea aibu mtu huyo atakapofika katika utukufu wake na ule wa Baba na wa malaika watakatifu.+

  • Luka 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini yule anayenikana+ mbele ya wanadamu atakanwa mbele ya malaika za Mungu.+

  • 2 Timotheo 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana,+ yeye pia atatukana sisi;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki