Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 lakini yeyote yule anayenikana mimi mbele ya watu, mimi pia nitamkana+ mbele za Baba yangu aliye mbinguni.

  • Mathayo 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana Mwana wa binadamu anakusudiwa kuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, na ndipo atakapomlipa kila mmoja kulingana na mwenendo wake.+

  • Luka 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana mtu yeyote yule atakayenionea aibu mimi na maneno yangu, Mwana wa binadamu atamwonea aibu mtu huyo atakapofika katika utukufu wake na ule wa Baba na wa malaika watakatifu.+

  • Luka 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini yule anayenikana+ mbele ya wanadamu atakanwa mbele ya malaika za Mungu.+

  • Waroma 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana siionei aibu+ habari njema; kwa kweli, hiyo ni nguvu za Mungu+ kwa ajili ya wokovu kwa kila mtu aliye na imani,+ kwa Myahudi kwanza+ na pia kwa Mgiriki;+

  • 2 Timotheo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo usione aibu juu ya ule ushahidi kumhusu Bwana wetu,+ wala kunihusu mimi mfungwa kwa ajili yake,+ bali shiriki sehemu yako katika kuvumilia+ uovu kwa ajili ya habari njema kulingana na nguvu za Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki