Mika 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+ Luka 12:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Kwa maana tangu sasa na kuendelea kutakuwa na watano katika nyumba moja waliogawanyika, watatu dhidi ya wawili na wawili dhidi ya watatu.+ Luka 12:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Watagawanyika, baba dhidi ya mwana, mwana dhidi ya baba, mama dhidi ya binti, binti dhidi ya mama yake, mama-mkwe dhidi ya binti-mkwe wake na binti-mkwe dhidi ya mama-mkwe wake.”+
6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+
52 Kwa maana tangu sasa na kuendelea kutakuwa na watano katika nyumba moja waliogawanyika, watatu dhidi ya wawili na wawili dhidi ya watatu.+
53 Watagawanyika, baba dhidi ya mwana, mwana dhidi ya baba, mama dhidi ya binti, binti dhidi ya mama yake, mama-mkwe dhidi ya binti-mkwe wake na binti-mkwe dhidi ya mama-mkwe wake.”+