Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwanung’unikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+

  • Luka 7:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mwana wa binadamu amekuja akila na kunywa, lakini mnasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi!’+

  • Luka 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa sababu hiyo Mafarisayo na pia waandishi wakanung’unika, wakisema: “Mtu huyu hukaribisha watenda-dhambi na hula pamoja nao.”+

  • Luka 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini walipoona hilo, wote wakaanza kunung’unika,+ wakisema: “Ameingia apate kukaa pamoja na mwanamume mtenda-dhambi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki