30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kuwanung’unikia wanafunzi wake, wakisema: “Kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”+
34 Mwana wa binadamu amekuja akila na kunywa, lakini mnasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi!’+